PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI
Showing posts with label MUSIC. Show all posts
Showing posts with label MUSIC. Show all posts

Sunday, December 14, 2014

CHEK OUT AFTER SCHOOL BASH YATIKISA JIJI LA DAR


Umati wa watu waliohudhuria Tamasha la After School Bash eneo la Escape One jana.
Mashabiki wakiwaangalia wanafunzi waliokuwa wakionesha vipaji jukwaani.
Wasanii wa Kundi la Makomandoo wakionesha makeke yao jukwaani.
Wasanii kutoka TMK Wanaume Family, Mhe .Temba na Chegge wakitumbuiza wakati wa tamasha hilo.
Msanii Rich Mavoko akikamua jukwaani.
Mashabiki wakifuatilia burudani.
Mwanamuziki Tid 'Mnyama' akicheza na shabiki jukwaani.
Mtangazaji wa Clouds FM, Shadee akiwasherehesha mashabiki.
Mashabiki walishinda kwa kufanana na wasanii wakiwa kwenye pozi na Adam Mchomvu (kushoto). Kutoka kulia ni shabiki aliyefananishwa na Ngwea na katikati ni Diamond.
TAMASHA la After School Bash lililoandaliwa na Clouds Fm limeacha historia ndani ya Escape One, Mikocheni jijini Dar jana kutokana na bururdani za aina yake zilizokuwepo.
Wakali kibao wa muziki wa hapa nchini walihudhuria na kutoa burudani ya kufa mtu na kuzikongga vilivyo nyoyo za umati wa mashabiki waliofurika katika eneo hilo.
(PICHA NA MAYASA MARIWATA / GPL)

Sunday, December 7, 2014

DIAMOND AWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA MAKAMUZI YA SHEREHE YA UHURU MUDA MFUPI UJAO‏



 Diamond akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Dulles muda huu tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika muda si mrefu Sheraton, ya Downtown Silver Spring, Maryland.

 Diamond akimsalimia mwenyeji wake hayupo pichani mara tu alipowasili Dulles.

 Kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru Bwn. Phanuel Ligate

Wednesday, December 3, 2014

Mdogo wake na Zari aponda uhusiano wake na Diamond, Zari asisitiza ni marafiki tu




Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia
Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz
ambaye anamzidi miaka 9.

Kwenye post hiyo, Karim aliandika: You are ashaming us, how can you date a boy my age. You moved from one man to another in less than 3 days.”
 
Akitumia akaunti yake binafsi ya Facebook yenye jina ‘Zarinah Tlale’,
kujibu post hiyo ya mdogo wake huyo ambaye hapendezwi na kitendo cha
dada yake kuwa na uhusiano na mtu mwenye umri kama wake, Zari alisema
si Karim aliyeiandika.
 
“Diamond is just a friend of mine. It’s never been written that
female and male can’t be friends, it’s just the backward people that use
that kind of perspective to blow things out of proportion,”
aliandika.
zeetalk
10309502_10205619175663672_4957719935074097891_n
Katika hatua nyingine baada ya kumsindikiza Diamond kwenye tuzo za
Channel O, Jumamosi iliyopita, Zari alimpa kampani pia kwenye
utengenezaji wa video ya wimbo alioshirikishwa na kundi la Nigeria,
Bracket.
10174778_10205619176663697_8518468057469568560_n
Chanzo: Uganda Online

Friday, July 25, 2014

Diamond Platnumz To Release A Second Video For "Mdogo Mdogo". Find Out Why



Diamond Platnumz gifted his fans and especially his mother who is his
biggest fan with two videos on her birthday. Mdogo Mdogo and another
massive collaboration with Iyanya dubbed ‘Bum bum’.

Both videos were on point although MdogoMdogo sparked alittle
controversy for his choice to use a white lady as the video vixen.