Umati wa watu waliohudhuria Tamasha la After School Bash eneo la Escape One jana.
Mashabiki wakiwaangalia wanafunzi waliokuwa wakionesha vipaji jukwaani.
Mashabiki wakifuatilia burudani.
Wakali kibao wa muziki wa hapa nchini walihudhuria na kutoa burudani ya kufa mtu na kuzikongga vilivyo nyoyo za umati wa mashabiki waliofurika katika eneo hilo.
(PICHA NA MAYASA MARIWATA / GPL)
No comments:
Post a Comment