PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Wednesday, December 3, 2014

ESCROW: BILIONEA NA MMILIKI WA MITAMBO WA KUFUA UMEME AMESEMA HATAKUBALI HATA KIDOGO KUTAIFISHWA MITAMBO YAKE...



Bilionea na mmiliki wa mitambo wa kufua umeme wa 

Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), 

Harbinder Singh Sethi,

amesema hatakubali hata kidogo kutaifishwa mitambo yake 

ya kuzalisha umeme ya IPTL kama ilivyopendekezwa na 

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) mjini 

Dodoma 

hivi karibuni. 


Nini maoni yako juu ya hii kauli yake ?

No comments:

Post a Comment