PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Tuesday, December 2, 2014

Al Sabab Yaua Watu 36 Nchini Kenya





Takribani watu 36 wanahofiwa kufariki katika shambulio lililotokea
kwenye machimbo ya kokoto karibu na mji wa Mandera kaskazini mwa Kenya.
Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limethibitisha.


Wakazi wa eneo hilo wamesema waathirika wote wa tukio hilo ni watu
wasio Waislam ambao walikuwa wakifanya kazi katika machimbo hayo
yaliyopo Kormey kilomita 15 kutoka mji wa Mandera Kaskazini mwa Kenya.


Tukio hili linafuatia tukio la wiki moja iliyopita ambapo watu
wapatao 28 waliuawa katika shambulio la basi la abiria huko Mandera.

Kundi la wapiganaji wa Kiislam la Al Shabab limekiri kuhusika na mauaji hayo.

No comments:

Post a Comment