PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Wednesday, November 26, 2014

Tweets 3 za Dk.Wilbroad Slaa kuhusiana na kashfa ya Escrow



Tulisema hili la Escrow mapema.
Akaunti nyingi zilizopokea hela zilikuwa ni mpya, nyingine hazikuwa hata
na vitabu vya hundi. Hatuliachi….”
  
-“… Ni jambo la kusikitisha sana
kuona hata benki zinazomilikiwa na madhehebu ya dini sasa zimekuwa
sehemu ya kusambaza fedha zilizoibwa…’.
 
-‘…Fisadi anapoachia ngazi bila
kufikishwa mbele ya sheria ni sawa na kupewa mapumziko kwenda kutumia
alichofisadi. Kuachia ngazi tu haitoshi…’.
 
— Dr Wilbrod Slaa (@wilbrodslaa) November 23, 2014

No comments:

Post a Comment