PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Wednesday, November 26, 2014

Ripoti Ya Escrow.....Leo ndio Leo!!



Ripoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.
Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.

**
LEO ndiyo siku iliyokuwa ikisubiriwa baada ya mbinu za kila aina za
kutaka kuzuia mjadala wa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL ambapo
Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) itawasilisha bungeni maoni yake
kuhusu ripoti ya kuchotwa zaidi ya shilingi bilioni 321 katika akaunti
ya Tegeta Escrow.

Tweets 3 za Dk.Wilbroad Slaa kuhusiana na kashfa ya Escrow



Tulisema hili la Escrow mapema.
Akaunti nyingi zilizopokea hela zilikuwa ni mpya, nyingine hazikuwa hata
na vitabu vya hundi. Hatuliachi….”
  
-“… Ni jambo la kusikitisha sana
kuona hata benki zinazomilikiwa na madhehebu ya dini sasa zimekuwa
sehemu ya kusambaza fedha zilizoibwa…’.
 
-‘…Fisadi anapoachia ngazi bila
kufikishwa mbele ya sheria ni sawa na kupewa mapumziko kwenda kutumia
alichofisadi. Kuachia ngazi tu haitoshi…’.
 
— Dr Wilbrod Slaa (@wilbrodslaa) November 23, 2014