PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Monday, October 28, 2013

SULUHISHO LA NGUVU ZA KIUME NDANI YA SIKU 30.

SULUHISHO LA NGUVU ZA KIUME NDANI YA SIKU 30.
Watu wengi wamekuwa wakiteseka na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa muda mrefu bila mafanikio. usisikitike wala kukosa amani tena kwani tatizo hilo limepatiwa suluhisho la uhakika. Tiba ya tatizo hilo ni ndani ya siku thelathini tu, na ikitokea umetumia tiba ntakayokupatia na tatizo likaendelea, nitarudisha hela yote uliyotoa kupata matibabu.

TIBA YA NGUVU ZA KIUME.
imejumuisha vitu vifuatavyo kuitengeneza.
- Marca (root)
-tribulus terrestris(fruit)
-muira puama(root)
-catuaba(bark)
-L-Arginine
-Saw palmetto(fruit)
-pygeum africanum(bark)
-co enzyme q-10
-soy exract.

BENEFITS
-known as the '' sex herb of the Incas''
-helps promote libido, stamina and energy
-promotes sexual arousal and endurance, prevents hot flushes, enlargement of the prostate, increase stamina during exercise, breast soreness and tenderness and many more.

Wasiliana nami kwa namba 0713 651 858, ili kupata tiba hiyo. watu wengi sana wamenufaika na heshima yao imerudi kikamilifu.

Wednesday, October 23, 2013

Furahia Maisha: Aloevera Products

Furahia Maisha: Aloevera Products: Ukimaliza kuiangalia video hii nzuri, naamini utakuwa umepata mwanga mkubwa wa kufanya biashara. waweza kuwasiliana nami kwa ushauri ...

FAHAMU SIKU ZA HATARI ZA KUSHIKA MIMBA


SIKU ZA HATARI ZA KUSHIKA MIMBA NI ZIPI?
Habari za asubuhi wapendwa wafuatiliaji wa blog
hii! kabla ya kuanza mada hii ya leo napenda kutoa
shukrani zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu
kuweza kuniamsha salama nikiwa na afya njema. Mada yangu leo inahusu siku za hatari ambazo
mwanamke akifanya ngono bila kinga basi
anakuwa katika hatari ya kushika mimba. Nimeamua kutoa mada hii baada ya kugundua
kuwa ongezeko la matukio ya utoaji mimba,
utupaji wa watoto na hata kuwa na watoto wa
mitaani yanasababishwa zaidi na mimba ambazo
hazikutarajiwa ambazo zingine zinatokana na
mzazi kutokujua siku yake ya hatari ili kujikinga. Ni muhimu sana kwa mwanamke kujua mzunguko
wake wa hedhi, mizunguko hiyo iko katika
makundi makuu matatu3 ambayo ni : mzunguko
mfupi(siku25 kurudi nyuma), mzunguko wa
kawaida(siku28) na mzunguko mrefu(siku30-35) Wanawake wengi mzunguko wao huwa ni wa
kawaida yaani siku 28 hawa ndio leo
nitawaongelea zaidi.

NAMNA YA KUTAMBUA MZUNGUKO WAKO.
Ili kutambua mzunguko wako ni wa siku ngapi
unatakiwa kuhesabu kuanzia siku ya kwanza kuona
damu ya hedhi hadi siku ya kwanza ya kuona damu
ya hedhi ya mwezi unaofuata, kwa mfano ukiona
damu ya hedhi tarehe 15 December basi hiyo ndio
siku yako ya kwanza. Kwa mtu mwenye mzunguko huo wa siku 28 siku
zake za hatari za kuweza kushika mimba ni siku ya
kumi na nne 14, hivyo kuanzia siku ya 12 hadi siku
ya 16 kama atafanya ngono bila kinga anaweza
kushika mimba. Najua mtu anaweza akajiuliza kama siku ya hatari
ni ya 14 sasa kwa nini akifanya ngono siku ya 12
anaweza akapata mimba?
Hii ni kwa sababu mbegu za kiume zina uwezo wa
kudumu kwa masaa24 hadi 48 baada ya
kujamiiana hivyo kama utafanya ngono tarehe 12 na yai likatoka tarehe14 bado litakuta zile mbegu
zikiwa hai hivyo zitarutubishwa. kwa leo tuishie hapo mpendwa mfuatiliaji ili
kukuachia nafasi ya kuchangia zaidi na kuboresha
yale ambayo sikuweza kuelezea zaidi.

Sunday, October 20, 2013

MUNGU HAKOSOLEWI

Jamaa mmoja alikuwa amepumzika chini ya mpera, ndipo akaanza kumkosoa Mungu.

Akasema '' Kwa kweli Mungu hakutumia akili kabisa, iweje aumbe mti mkubwa halafu aweke vitunda vidogo kama pera? Halafu mmea kama boga uwe na matunda makubwa?''

Mara akasinzia na pera likamdondokea na kumponda puani; ndipo akili ikamjia kisha akasema '' Kweli Mungu hachunguziki, laiti kama hili pera lingekuwa boga lingenipasua pua..!!''

Hakika katika haya maisha yetu usijaribu kwa namna yeyote kumkosoa Mungu kwa uumbaji wake.

Friday, October 18, 2013

SOMEONE STILL LOVES YOU

One thing about life that tells us it isn't always
fair is how we ignore the ones who love us
the most, yet we love the most the ones who
just ignore us. Just because someone may not
love you as you love him or her, doesn't mean
that you should ignore all of those who love
you. Doing so is a decision that all of us
usually make either purposely or by default at
one point in our lives, and is also an
important lesson for us to learn from for the
rest of our lives.

If someone doesn't treat as special as you
deserve to be treated, and doesn't love you
the way that you deserved to be loved, as a
person who is uniquely and wonderfully
made, chances are this person doesn't
deserve to have you in their lives. Make time
and effort for the people who still love you
and for the people that will always love you,
instead of devoting yourself to those who just
ignore how beautiful of a person you really
are.

DELAY IS NOT DENIAL

There is a tree in ASIA called Chinese Bamboo it's
seed stays underground for 5 years without
germinating but when it does,it grows 50 feet in 1
week.what is important is not how long it delays
but how fast it grows..dont give up on your dream
no matter how long it stays underground..it's foundation to shoot.it's not dead continue watering
it...remember delay is not denial.

Thursday, October 17, 2013

8 FACTS U SHOULD KNOW ABOUT GIRLS:


1) They love loosing weight but they also love
to EAT.

2) They want u to buy them sanitary pads
while they never buy u protections.

3) They pretend they don't want sex, Yessss
without condom but the truth is they die to
have it without.

4) They say the don't love u but they can't get
u out of their mind.

5) In the middle of the month when u want
them to pay u a visit, they refuse but when
the month is about elapse, they are the ones
who remind u that u are supposed to go for
ur salary.

6) They always tell u to recharge their phones
with airtime and you wonder who the hell
they want to talk to!

7) They cry when u wrong them but they
laugh when they wrong u.

:> If she tells u that u are ugly, she takes it as
a joke
but if u tell her she is ugly,
she won't forgive u for the rest of her life.

When a married man wants to sleep with you.


When a married man wants to sleep with you,
He'll tell you about his marital problems
Paint his wife as a bad woman, Promise to
leave
her for you, Be rude to her over the phone in
front of you, Spend his nights/weekends with
you, Show you off to his friends/colleagues to
prove that he loves you.
However before you make the 'Biggest
Mistake'
of your life
of agreeing to be the adulteress;
Just remember that you're probably not the
first
woman he's cheated with and you won't be
the
last.
His wife knows it, his friends also know it.
So it's all just part of his cheating acts not
because he loves you.
He'll never leave his wife for you and even if
he
does you'll be the wife he cheats on with
other
girls.
Wait on the Lord you serve to give you the
love
you deserve!
No matter the benefit, don't be involved in
any
relationship with someone that is married or
engaged already. If you enjoy cheating with a
married man, remember your future husband
will one day cheat with other girls or women,
don't think it's not true or it'll not be your
portion.
So if you love yourself and your future home
or
if you want to be a married wife with dignity
in
the future, keep yourself away from any
unhealthy relationship.
The Lord is your guide.

PAPAI NI TIBA YA AJABU

HIZI NDIZO FAIDA ZA PAPAI NA JUISI YAKE, INA
LYCOPENE INAYOPUNGUZA KANSA YA KIBOFU.

 Hizi ni baadhi ya faida ambazo unaweza kuzipata
kwa kula papai au kunywa juisi yake Papai lina fibrin ambayo hupunguza kuganda kwa
damu
Fibrin inaweza kuzuia kiharusi
Lycopene iliyomo katika papai inaweza kupunguza
hatari ya kansa ya kibofu
Mbegu za papai hutibu homa ya matumbo (typhoid)
Juisi ya papai huondoa sumu mwilini
Juisi ya papai hutibu vyema shinikizo la damu
Juisi ya papai husaidia kuzuia magonjwa ya moyo
Juisi ya papai ina folate, vitamini C na E ambavyo
huzuia saratani ya utumbo. Juisi ya papai hujenga kinga ya mwili. 

LIKE, COMMENT, NA SHARE KAMA UMEJIFUNZA NA
KUELEWA SOMO HILI.

Thursday, October 10, 2013

MWANAMKE ACHOMA TUNGULI NA UGANGA WA MUMEWE.

Mwanamke achoma tunguli na uganga wa mumewe.
Tukio hilo limetokea jana siku ya jumatano, majira ya saa saba mchana katika Mkoa wa Dar es salaam, wilaya ya Ilala, kata ya chanika, eneo liitwalo kwa Ngwale, ambapo nilipata fursa ya kushuhudia tukio hilo na kuwahoji wahusika. Mwanamke huyo aliyeamua kuchoma tunguli zote, manyanga, singa, hirizi na dawa mbalimbali pamoja na kibanda cha uganga cha mumewe ambaye ni mganga wakienyeji, alikuwa na haya ya kusema"Nimemvumilia sana nimechoka, amezidi kuninyanyasa sana huyu mwanaume, kilasiku ananipiga, hanipi haki yangu kama mkewe, kila siku anafanya utapeli tu akijifanya mganga, hana uganga wowote ule, nimechoka na manyanyaso yake, najua kinachompa jeuri ni huu uganga wake feki, sasa nimechoma moto kilakitu, nione jeuri yake itakuwa wapi" alisema mwanamke huyo akiwa na jazba kali.

Nilipojaribu kumhoji mganga huyo wakienyeji, yeye hakuwa tayari kutoa ufafanuzi wowote kwa muda ule, bali alisema tu kuwa "naomba uniache kwa sasa, nimechanganyikiwa sijui nitafanyaje, sikutegemea huyu shetani (mke wake) angefanya huu upuuzi. Atajuta maisha yake yote, ametafuta ugomvi ambao hataweza kuumaliza".
Tukio hilo lilishuhudiwa na watu wengi waliotaka kujua nini kingetokea baada ya kibanda cha uganga kuchomwa moto, na wala si kutoa msaada wa kuzima moto huo. Nilipenda kujua zaidi kuwa je, wanandoa hao wangeweza kukaa na kumaliza tofauti zao hata baada ya tukio hilo, lakini mganga yule wa kienyeji alisema. "Mc Mgonja nakuomba usitake kujua zaidi kwani huyu mwanamke kwa hili tukio la leo, ameweka maisha yangu na yake hatarini, sijui kama tutakuwa salama, huu sio muda wa kutafuta suluhu, bali ni muda wakutafuta uhai kwanza kwani waweza kututoka muda wowote"

Nilipomuuliza mwanamke juu ya hofu ya kifo kwa kosa la kuchoma uganga wa mumewe, yeye alikuwa na haya ya kusema " mimi siamini uchawi wala uganga, siogopi chochote kile, mumue wangu kwani mganga kweli? Hana lolote tapeli mkubwa tu, kama kweli uganga wake unafanya kazi utanidhuru" baada ya kusema hayo mwanamke yule alipanda bodaboda na kuelekea kwa dadayake anayeishi mkoa wa Pwani, wilaya ya Kisarawe.
Nilijaribu kumhoji zaidi mganga yule iwapo angetafuta uganga mwingine na kuendelea na kazi yake ya uganga, lakini swali hilo halikujibiwa badala yake alikuwa mkali, akanigeuzia kibao na kutaka kupasua Ipad yangu ili kupoteza ushahidi wa picha. Hivyo nilijitetea kwa kufuta picha zote za tukio, lakini hakufanikiwa kufuta kumbukumbu yangu iliyopo kichwani.

Hili ni tukio la kweli kabisa na nikizungumza kwa njia ya simu na mmoja wa majirani wa mganga huyo leo asubuhi, ameniambia kuwa mpaka sasa Mganga huyo hajulikani alipoenda, na hatua za kumtafuta zinafanywa na majirani wanaotaka kujua tu nini kitatokea baada ya tukio lile. Nikikuletea tukio hili lakusisimua, ni mimi Mhabarishaji wako Mc Mgonja.
Kwa habari na mtukio mbalimbali wasiliana nami kwa namba 0713651858.

Monday, October 7, 2013

FAIDA ZA KULA BILINGANYA

JE WAJUA FAIDA ZA KULA BILINGANYA?

BILINGANYA
INAZUIA CANCER
INASAIDIA KUPUNGUZA UZITO MWILINI (UNENE)
INAFANYA NGOZI KUWA NZURI NA YENYE AFYA
INAZUIA MUHARIBIKO WA UBONGO (BRAIN DAMAGE)
INAPUNGUZA WINGI WA MAFUTA MWILINI( CHOLESTEROL)
INAPUNGUZA KASI YA KISUKARI( DIABETIS TYPE 2)
MAJI YA BILINGANYA, YANASAIDIA SANA UPUNGUZA UZITO, NA PIA KATIKA KUFANYA NYWELE KUKUA VIZURI.
NUTRITIONS.
FIBER
CHLOROGENIC ACID
VITAMIN A &BETA CAROTENE
VITAMIN B
FOLATE
VITAMIN C
POTASSIUM
MAGNESIUM
CALCIUM
PHOSPHORUS

LIKE, COMMENT, NA SHARE KAMA UMEJIFUNZA NA KUELEWA SOMO HILI.

ZIJUE FAIDA ZA BAMIA

Bamia inafahamika kwa wengi katika jamii kwa ladha yake nzuri inapotumika kama mboga katika baadhi ya milo.
Wapo wanaoitumia kama kiungo cha mboga na wengine huifanya mboga kamili.
Bamia ina majina lukuki, wengine huiita okra, kwa jina lisilo rasmi la Kiingereza huitwa, ‘lady finger’ au gumbo.
Bamia ni miongoni mwa mboga za majani ambazo kwa kisayansi huitwa, ‘Abelmoschus Esculentus’
Kwa kawaida hulimwa zaidi kwenye maeneo yenye joto, ukanda wa kitropiki ikiwamo mikoa mikavu kama Dodoma, Singida katika Tanzania.
Kwa kawaida huwa na rangi ya kijani iliyokolea na hukua hadi kuwa na urefu wa sentimeta tano hadi 15.

Zijue faida za bamia kiafya:
Bamia ina wingi wa vitamini A ambayo husaidia kutengeneza kinga ya sumu. Kwa kifupi, sumu inapoingia mwilini bamia huzuia kusambaa kwake.
Vitamini A itokanayo na bamia husaidia kuupa mwili wako kinga ya kupigana na maradhi. Kwa wenye matatizo ya kuona, kula bamia mara kwa mara kutaimairisha mwanga katika macho yako.
Wingi wa vitamini A huzuia maradhi yatokanayo na virusi kama mafua.
Uteute uliomo katika bamia husaidia kuunda tishu za mwili na ngozi. Watu wenye ngozi laini na zinazoteleza wana kiwango kikubwa cha ute ambacho husaidia kujenga ngozi.
Ulaji wa mboga za majani kama bamia, husaidia katika kulinda mapafu na saratani za mdomo. Bamia zina wingi wa vitamini K ambayo husaidia kuimarisha mifupa na kuganda kwa damu.

TOP 10 UNWANTED MISTAKES MEN MAKE IN BED!!

1) NOT KISSING FIRST. Avoiding her lips and diving straight for the erogenous zones makes her feel like you're paying by the hour and trying to get your money's worth by cutting out nonessentials. A proper passionate kiss is the ultimate form of foreplay.

2) BLOWING TOO HARD IN HER EAR. Admit it, some kid at school told you girls love this. Well, there's a difference between being erotic and blowing as if you're trying to extinguish the candles on your 50th birthday cake. That hurts.

3) NOT SHAVING. You often forget you have a porcupine strapped to your chin which your rake repeatedly across your partner's face and thighs.When she turns her head from side to side, it's not passion, it's avoidance.

4) SQUEEZING HER BREAST. Most men act like a housewife testing a melon for ripeness when they get their hand on a pair. Stroke, caress, and smooth them.

5) BITING HER NIPPLES. Why do men fasten onto a woman's nipples, then clamp down like they're trying to deflate her body via her breasts?

Nipples are highly sensitive. They can't stand up to chewing. Lick and suck them gently. Flicking your tongue across them is good.Pretending they're a dogie toy, isn't.

6) TWIDDLING HER NIPPLES. Stop doing that thing where you twiddle the nipples between finger and thumb like you're trying to find a radio station in a hilly area. Focus on the whole breasts, not just the exclamation points.

7) IGNORING THE OTHER PARTS OF HER BODY. A woman is not a highway with just three turnoffs: Breastville East and West, and the Midtown Tunnel.There are vast areas of her body which you've ignored far too often as you go bombing straight into downtown Vagina. So start paying them someattention.

8) GETTING THE HAND TRAPPED. Poor manual dexterity in the underskirt region can result in tangled fingers and underpants. If you're going to be that aggressive, just ask her to take the damn things off.

9) LEAVING HER A LITTLE PRESENT. Condom disposal is the man's responsibility. You wore it, you store it.

10) ATTACKING THE CLITORIS. Direct pressure is very unpleasant, so gently rotate your fingers along side of the clitoris.

ZIJUE FAIDA ZA TIKITI MAJI

Licha ya 92% ya tikiti maji kuwa ni maji, bado zile 8% zilizobaki zina faida kubwa sana kiafya jambo linaloonekana kutofahamika kwa wengi.

Baadhi ya vyakula vimekuwa vikifurahisha pale vinapoliwa, tikiti maji ni miongoni mwa vyakula hivyo. Kwanza ule mchanganyiko wa rangi zake hulifanya sio tu kuvutia bali kuwa kama ua lililochanua juu ya meza ya mlaji husika.

Kama vile haitoshi tunda hili limejaaliwa virutubisho kadha wa kadha vyenye faida kubwa katika afya ya mwanadamu.

Tikiti maji ni chanzo kizuri cha vitamini. Katika tunda hilo kuna Vitamin A, inayosaidia kuboresha afya ya macho na pia kuondosha sumu mwilini; Vitamin C, inayosaidia kuboresha kinga, kuponya majeraha, kukinga uharifu wa seli, kuboresha afya meno na fizi; na vitamini B6, inayosaidia ubongo kufanya kazi na pia kuibadilisha protini kuwa nishati.

Tunda la tikiti maji lina kiwango kikubwa cha lycopene kuliko tunda lolote au mboga za majani.

Ikiwa familia yako inaishi kwenye eneo lisilo na vyanzo vya madini ya potasium, unaweza kuwapa tikiti badala yake. Lina uwezo mkubwa wa kusaidia misuli na mfumo wa fahamu kwa ujumla kufanya kazi zake vizuri.

Halikadhalika tunda hili huweza kukuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu.

Tikiti pia lina amino asidi na virutubisho vingine vinavyosaidia kurahisisha mtiririko wa damu kwenye mishipa yake.


Sifa ya kipekee iliyopo katika tunda hili, ni ule uwezo wake wa kusaidia kupunguza ama kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Kwa kunywa juisi yake iliyokamuliwa bila kumenywa kwa maganda yake, kutaisadia kabisa kuondoa tatizo hilo.

Kwa kawaida tunda hili huliwa peke yake au kwa kuchanganya na matunda mengine. Kwa mujibu wa wataalamu wa mambo ya afya ya vyakula kila kitu kwenye tikiti maji kina faida kiafya ukianzia kwenye majani tunda na hata nyama yake.

Sunday, October 6, 2013

VIWANJA VYA BEI NAFUU KIGAMBONI, KIBADA & MIKWAMBE.#0713651858.#

Viwanja vinauzwa vipo kigamboni, Mikwambe. Kuna viwanja nyenye square meter 887, sqm 850, sqm 846, sqm 843, sqm 849, sqm 842, sqm 853, sqm 845, sqm 842, sqm 841, sqm 804, sqm 800. Viwanja vinauzwa million kumi na sita.
Viwanja vyenye sqm 784, sqm 772, sqm 774, sqm 774, sqm 747, sqm 770,  567 + sqm 267. Vinauzwa million kumi na tano na laki tano.
Viwanja hivyo vipo mita mia mbili kutoka kwenye barabara kuu.
Kipo kiwanja kikubwa kina square meter 4072, kipo kibada block 27. Kinauzwa million mia.
Kuwasiliana na muuza viwanja hivyo ambae sio dalali, wasiliana nae kwa namba +255713651858.
Wahi sasa kwani viwanja ni vizuri na vinauzwa kwa bei nafuu sana. Usichelewe vitaisha kabla hujapata chakwako.