PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Monday, September 30, 2013

TATIZO LA UKOSEFU/ UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

 Chanzo,Athari & Suluhisho Lake.
Wanaume wengi wanasumbuliwa na tatizo
la ukosefu/ upungufu wa nguvu za kiume,
hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za
kitaalamu. Hapa kwetu hususani katika
maeneo ya mijini, katika kila wanaume
kumi wanao tembelea barabarani angalau
watatu kati yao wanakabiliwa na tatizo la
upungufu/ ukosefu wa nguvu za kiume,
wamewahi kukabiliwa na tatizo hilo ama
hawana uhakika kama wanazo nguvu za
kiume za kutosha.

 Tunazo shuhuda nyingi
sana za watu wanao sumbuliwa na tatizo
la nguvu za kiume ambao wanakuja
kupata tiba na ushauri kituoni kwetu
lakini kwa sababu za ki-ethics hatutoweza
kuzipublish hapa mtandaoni, ila kiukweli
tatizo la upungufu ama ukosefu wa nguvu
za kiume lisipo tafutiwa ufumbuzi wa kina,
linaweza kuwa na athari kubwa sana kwa
muhusika katika maisha yake yote.
 

Ukosefu wa nguvu za kiume ni nini?
Ni hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo
wa kufanya/ kukamilisha tendo la ndoa
kwa ufasaha..
Mwanaume mwenye nguvu za kiume ni
yupi?
Mwanaume mwenye nguvu za kiume ni
yule mwenye uwezo wa kufanya/
kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.
 

CHANZO CHA UKOSEFU WA NGUVU ZA
KIUME
Kwa ufupi sana, hizi ni baadhi ya sababu
zinazo sababisha upungufu wa nguvu za
kiume kwa wanaume.
1. Msongo wa mawazo
2. Ulevi kupita kiasi.
3.Kupooza kwa mwili
4. Presha na ugonjwa wa kisukari.
5.Wasiwasi wa kutekeleza tendo la ndoa
6. Uoga wa kufanya tendo la ndoa.
7.Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za
nyumaa
8.Chango la kiume.
9. Kuugua ugonjwa wa ngiri
10. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa
tendo la ndoa.
11. Ulaji mbovu wa vyakula haswa haswa
ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi
kupita kiasi.
12. Kufanya masturbation kwa muda
mrefu n.k
 

ATHARI ZA UPUNGUFU / UKOSEFU WA
NGUVU ZA KIUME
Ukosefu ama upungu wa nguvu za kiume
una athari nyingi sana, zifuatazo ni baadhi
ya athari za ukosefu/ upungufu wa nguvu
za kiume.
1. Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
2. Kuvunjika kwa ndoa.
3. Kujiua : Baadhi ya wanaume hufikia
uamuzi wa kujiua baada ya tatizo kuwa
kubwa na kutumia dawa za aina
mbalimbali bila mafanikio.
4. Upungufu wa nguvu za kiume
huongeza chachu ya maambukizi ya v.v.u
kwa wanandoa.Tatizo la upungufu wa
nguvu za kiume linapokuwa sugu,
hupelekea rafiki wa kike/ mke wa
mwanaume anaye sumbuliwa na tatizo la
upungufu wa nguvu za kiume, kutoka nje
ya ndoa kwa ajili ya kutimiziwa haja zake
za kimwili, mwisho wa siku mwanamke
huyo huweza kumletea magonjwa mume
wake mwenye tatizo la upungufu wa
nguvu za kiume pindi wanapokutana
kimwili katika hali hiyo hiyo ya
kutoridhishana
5. Ulevi kupita kiasi ; Wakati mwingine
wanaume wanao sumbuliwa na tatizo hili,
huamua kuwa walevi kupita kiasi ili
angalau kupunguza mawazo.
Kwa ufupi ukosefu/ upungufu wa nguvu za
kiume ni tatizo kubwa sana ambalo
endapo halitatafutiwa usumbufu na
muhusika linaweza kuyaathiri maisha ya
muhusika kwa kiasi kikubwa sana.

No comments:

Post a Comment