PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

PATA POWER BANK ZENYE UBORA WA HALI YA JUU KWA BEI NAFUU ZAIDI

Sunday, September 18, 2016

KIKI ZA TOWN waja na list nyimbo 20 boraza Bongo Fleva


Mtandao pendwa nchini Tanzania wa KIKI ZA TOWN umeanza utaratibu wa kuorodhesha nyimbo Ishirini ambazo zinapedwa na mashabiki wa bongo fleva.

Ambapo Mashabiki pia wanapata nafasi ya kuchagua nyimbo ambazo wanapenda ziwepo katika orodha hiyo iliyopewa jina la TOP 20 ZA TOWN.

INGIA HAPA KUIONA ORODHA YA TOP 20 ZA TOWN NDANI YA KIKI ZA TOWN KWA WIKI HII

Tuesday, April 26, 2016

MLINZI WA GETI .1 (watch Man)


MLINZI WA GETI
sehemu ya 1
MTUNZI:Kinyoya boy
SIMU :0656047496 WhatsApp
Ilikua ni saa
5 asubu tarehe 11/2/1995 nikiwa bado ni mtoto mdogo nisiojua hili wala lile, Nilikua na umri uiozidi miaka mitatu hivi, na siku hio nilikua natoka shuleni yaani Nursary school ( shule za awali) ( vidudu ) Siku hio nilikua na hasira sana maana mwalimu aliniadhibu kwa kukosa somo lake. Sasa nikiwa njiani narudi nyumbani nilikutana na gari ya baba angu tena akiwa spidi sana. Nami siku hio nilikua na kabaiskeli kadogo ( vile vya kitoto ) nilishtukia breki ikishikwa mbele yangu
"twende haraka"
aliniambia kwa sauti kubwa tena kwa kuyatoa macho kwa kuonyesha siku hio hayupo vizuri kuliko siku zote.
"kwani kuna nini baba?"
"pumbavu panda gari twende"
Sikua na chaguo lolote lile Lakini cha kushangaza nilimkuta mama akiwa analia tena anaonekana kua na hasira isio ya kawaida.
"shkamoo mama?"
alipangusa machozi haraka na kuniitikia salamu yangu
"malahaba ujambo mwanangu?"
"sijambo, ila mama?"
"nini?"
"mbona unalia?"
"aaah ebu tulia bwana"
Baba aliingilia kati swala lile maana sikupaswa kujua chochote kuusu wao maana nilikua mogo mno. sasa cha kushangaza njia tunayopita ni ya kuelekea kijijini kwetu, sasa nikajiuliza maswali mengi lakini spati jibu lolote. Nikaona sawa tu maana huenda tunakwenda kuwasalimu wazazi Ila nilishangaa kuona mabegi yetu yote yakiwa katika siti ya nyuma.
"baba kwani tunaenda kwa bibi?"
"ndio tunakwenda kumsalimia bibi sawa eeh?"
"aya"
Basi safari ikasonga na moyo wangu ukawa umeridhika kwa majibu nilio yapata. mara simu ya baba iliita ila alivyopokea sikuskia sauti ya huyo mpigaji ila ya baba ilikua hivi
"eeh halo mr deusi?.... ivi deusi kwanini unanifanyia hivyo?"
Wakati huo mzee wangu akilalama namuona mama akiwa na wasiwasi mkubwa kama wa kuhofia kitu....bila kusahau mama yangu hapo alipo ana ujauzito wa miezi kama tisa au nane
"lakini sawa deusi...mmmm.mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
"basi nakupa zile sheli mbili"
Baba yangu alishikwa na hasira huku akilegeza tai kidogo
"deusi ndugu yangu usifanye hivyo.....basi chukua vyote ila we iache fam"
Kabla hajaongea kulitokea roli kubwa la mizigo lisilojulikana limetokea wapi.....kwa mshangao mkubwa na taharuki ya roli lile tulijikuta tumelivamia gari hilo na kutupushi pembeni kabisa ya korongo zito msitu mkubwa. katika watu waliokua salama ndani ya gari yetu ni mimi...kwani hata baba sikua namuona tena na mama nae yupo chini kazimia.... mara niliskia sauti ya mtu mmoja ambae sikumuona sura yake
"oyaa huyu mzee huyu huku"
"yuko wapi?"
"huyu apa..lete hio bastola tumalize kazi"
Mara niliskia kin'gora cha ambulace kikilia....Na kwakua nilikua mdogo hivyo nilijua ni polisi.... sasa wale watu kuskia hivyo waliairisha kazi yao na kukimbia Ila walipokua wakikimbia nami ndipo nilipo maana si kuna msitu mkubwa...mara wakaniona
"oya P ee?"
"sema"
"uyu dogo ajaona uyu kweli?"
"aaa wala hakajui kitu bwana we kaache"
"kanaweza kuja kua sumu baadae haka"
"shkamo"
"we mtoto umeona nini?"
"nimeona tumegongana na gari kuuuubwa"
"ni hilo tu?"
"eeeh"
"wazazi wako wapo wapi?"
"mama yule pale na baba sijui kaenda wapi"
Mara mmoja wao akatoa sauti
"oyaaa mwache uyo dogo bwana tutakutwa"
Lakini huyu mmoja hakuridhika kuniacha hai hivyo alinipiga na kitako cha bastola na kupoteza fahamu
Baada ya masaa kadhaa kupita nilijikuta nipo kitandani tena kulionekana kua ni hospitalini maana hapo pembeni yangu kulikua na dripu la maji na nikiangalia nje naona sio mjini... kwaio inaonekana hapa tupo kijijini kwa bibi...Mara kaja dokta wa kike
"shkamo"
"marabaa ujambo?"
"sijambo..eti mamaa yuko wapi?"
"mama atakuja usijali sawa?"
"sitaki mi namtaka mama angu"
Mara bibi akatokea na hapo ndipo nilipotulia
"bibi mama yupo wapi na baba"
Sasa kabla hajanijibu niliskia mwanamke akilia upande wa pili
Ndipo bibi nae akatoka ili kuangalia kilichajiri... Mara na yeye analia
"oohh mwanangu usijali utapata mwengie"
Hicho kilikua ni kilio cha bibi
Basi nami nikatoka pale odini ili nikashughudie watu wakili
Mara nesi mmoja kanivuta
"we mtoto huruusiwi kwenda uko"
"mi nataka nimuone mama"
"utamuona baadae"
Basi nikaona bora nikakojoe kwanza maana mkojo ulinibana mno
sasa nikawa choo sikijui maana vilikua ni vingi
Sasa nikaingia choo kimoja ambacho alikuamo hapo ndani ila inaonekana hakua akijisaidia bali alikua akiongea na simu ya siri sana....nikaacha kuingia lakini neno la mwisho katika maongezi yao lilinistua japo bado ni mdogo kwani neno lenyewe ni hivi
"ni mapacha na hapa tulipo tuna mchakoto wa kuwabadirisha maana taya"
Nikamkatisha maongezi kwa sababu ya kubanwa na haja
"heee we mtoto mbona huna adabu wewe?"
"nataka kukojoa mamdogoo"
"sasa si upige hodi"
Alikasirika mno huyu nesi Na wakati huo simu bado ipo hewani
"halooo halo? halooo dada?"
Aliokua akiongea nae alikua ni mwanaume
Sasa huyu nesi alihisi nimejua siri yake, hivyo alikuja resi mpaka pale chooni kisha akaniuliza kwa hasira
"umeskia nini?"
"sijaskia kitu mamdogoo"
Sasa akawa anaangaza macho huku na kule ili kunifanyia kitu kibaya
"nakuuliza tena umeskia nini kwenye simu???"
USIKOSE KUFATILIA SEHEMU YA 2 YA STORY HIII

Thursday, February 11, 2016

DAGAA WA MWANZA WALIOKAANGWA WANAPATIKANA KWA BEI NZURI.

Usipitwe! Sasa unapata Dagaa wa Mwanza waliokaangwa kwa usafi wa hali ya juu. Imarisha afya yako kwa kupata Dagaa fresh kabisaa!!!
Kuhusu bei ndo utashangaa yani sh 2,000/= tu!
Weka order mapema usichelewe.
Wasilina nami 0713651858
Upatapo ujumbe huu mfahamishe na mwingine.



Tuesday, January 5, 2016

THE CALENDER

Watch "THE CALENDER TRAILER" on YouTube - https://youtu.be/8IHlChqTyKw
KIJIWENI TV
Don't forget to subscribe our youtube channel.

Tuesday, December 1, 2015

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI KIBADA

Kiwanja kiko kigamboni kibada karibu na shule ya secondary Kibada.  Kina squaremetre 1047. Kina fence nzuri sana. Kiko plot 344 block 19.kina hati na building permit. Wasiliana na mmiliki kwa namba 0713651858